Saturday, 30 October 2021

MATOKEO YA KUHITIMU DARASA LA SABA SHULE YA MWENGE YAZIDI KUFANYA VIZURI ZAIDI.

 Baada ya Matokeo ya darasa la Saba Mwaka 2021 kutangazwa  Shule yetu imezidi kufanya vizuri zaidi kwani imeshika nafasi ya 7 katika Manispaa ya Tabora na Kimkoa imekuwa nafasi ya 12.Kutokana na juhudi kubwa waliyofanya walimu hakuna Mwanafunzi mwenye Wastani wa D na E,Wote wana wastani wa A,B&C.

SOMA ZAID:-    Angalia hapa Matokeo ya Shule ya Mwenge.

No comments:

Post a Comment